JIFUNZE KUUTAFUTA USO WA MUNGU
Nimesoma kitabu cha kutoka ...nimejifunza vitu vingi sana juu ya safari ya wana waisrael jinsi ambavyo Mungu alikuwa pamoja nao kwa sababu walikua n wana wa agano. Lakin mejifunza zaidi katika KUTOKA 33:12-------
Licha ya kwamba neeema ya Mungu ilikuwa juu ya Musa hakuacha kujiona anamhitaji Mungu wakati wote na Mungu wakati wote. Na Mungu akamuahidi kwa uso wake utakwenda pamoja na yeye.Musa hakuona kuwa kuambiwa na Mungu tu imetosha.KUTOKA 33:15 Musa akasema USO WAKO USIPOKWENDA NA MIMI USITUCHUKUE KUTOKA HAPA.Ni maneno yenye nguvu sana.
Nilichojifunza kuwa hata kama unakubalika kiasi gan mbele za Mngu kuutafuta uso wa MUNGU au uwepo wake katika maisha yetu ni kitu cha lazima.Tunahitaji kutembea katika ktk nguvu/uwepo wa Mungu wakati wote haijalishi Mungu amekuahidi nini tafuta uso wa Mungu mahali popote uendako.
Musa aliona bila uwepo wa Mungu yeye si chochote.
No comments:
Post a Comment