KUSUDI LA MUNGU ni hali ambayo Mungu ametuwekea wanadamu katika maisha yetu ili kuweza kutimia kwa jambo fulani ndani yetu.Kitabu cha Mwanzo 1:1...... kinaelezea jinsi uumbaji wa Mungu kwa vitu na binadamu kusudi la Mungu katika maisha yetu si kuishi ya maisha ya mateso aliituumba ili tutawale
KUISHI NA KUTAWALA
Akatuumba kwa mfano wake ili tuishi ndani yake kwa kusudi lake kuu.Ili uweze kufanikiwa katika maisha yako ishi ndani ya kusudi la Mungu afu utaona ushindi juu yako.
Yeremia 1:4-5-8
Isaya41:10
ILI UWEZE KULIISHI KUSUDI LA MUNGU (VITU VYA KUZINGATIA)
1.
KULIISHI NENO(NENO LA MUNGU)
Yoh 1;1 Yoh 4;24 Yoh 6:63
2.
UTII
Mwanzo 12:1-3
Isaya 1:19-20
3.KUWA NA MOYO WA
NYAMA(KUNYENYEKEA)EZEKIEL 36:26-27
Ø
Moyo ulioshuka
Ø
Moyo wa utii
Ø
Moyo mpya uliobeba vitu vipya
Ø
Moyo wenye hofu ya Mungu
Ø
Moyo usiojihesabia haki Isaya 57:15
Ø
Moyo uliotayari kuendeshwa na roho na Mungu.
4.KUWA
NA IMANIEbrania 11:1
Usikate tamaa kwa jambo lolote amini Mungu anakuwazia mema.Jifunze kukaa katika kusudi la Mungu.haijalishi unapitishwa katika Magumu gani usiangalie ukubwa wa tatizo wewe muone kwa kila kitu Mungu naye atakushindia
Na Mungu akubariki
No comments:
Post a Comment