KUWA KATIKA MAFUNDISHO YA KIMUNGU(kiroho) 1PETRO1:1-2 FAIDA ZA KUWA NA MAFUNDISHO YA KIROHO Kukuweka karibu na Mungu kukua kiroho kukaa ndani ya uwepo wa mungu wakati wote Tujifunze kukaa katika mafundisho tutazidi kukua kiroho viwango kw viwango na Mungu atajitukuza.
No comments:
Post a Comment