JIFUNZE KUISIKIA SAUTI YA MUNGU KWA BIDII - LIFE IN JESUS MINISTRY

Breaking

LIVE GOD LIFE

live life in jesus

Post Top Ad

LIVE LIFE IN JESUS

Saturday, December 9, 2017

JIFUNZE KUISIKIA SAUTI YA MUNGU KWA BIDII




Kumbu kumbu la torati 28:1
“ITAKUWA UTAKAPOSIKIA SAUTI YA BWANA,MUNGU WAKO,KWA BIDII,KUTUNZA KUYAFANYA MAAGIZO YAKE YOTE NIKUAGIZAYO LEO,NDIPO BWANA ,MUNGU WAKO,ATAKAPOKUTUKUZA JUU YA MATAIFA YOTE DUNIANI;”
KUMB 28:1-23
Unaweza kuisikia sauti ya Mungu kwa njia mbalimbali
          Kwa njia ya neo
          Ndoto/maono    
          Majaribu
         Kupitia watumishi wa Mungu.
Ili uweze kufanikiwa ni lazima uisikie sauti ya Mungu na kutenda sawasawa na mapenzi ya Mungu  UMUHIMU WA KUISIKIA SAUTI YA MUNGU
ü         UTABARIKIWA – Mungu ataenda kuachilia Baraka juu yako kila mahali utabarikiwa kumb 28:2-6
ü        ATAKULINDA NA ADUI ZAKO – adui zako watakwenda kuigwa maana umeshabarikiwa kumb 28:7-8
ü       BWANA ATAKUFANYA UWE JUU  kumb 28:9-10
ü         BWANA ATAKUFANYA UWE KICHWA  bwana ataenda kuachilia neema  utakuwa juu atakupa akili,maarifa na adili  kumb 28 -13
Lakini Mungu anasema ukienda kinyume na kutokuisikiliza sauti yake
KUMB 28:15
ü          UTALAANIWA – utalaniwa mahali popote

Ukisikia sauti ya Mungu  na kugeuka unaweza ukabadilisha mazingira uliyopo haijalishi unapitia vitu gani kwenye maisha yako.Mungu anajidhihirisha kwa mambo mbalimblia hata ktika maribu yako  usikate tama
Yeremia 7:22-23,   Yeremia 9:12-16,      Yeremia 11:1-15

Yatupasa kuisikiliza sauti ya Mungu ili tuweze kufanikiwa katika mambo yetu


No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

LIVE LIFE IN JESUS