Watu wengi tumekuwa tukiyaona matatizo yetu zaidi au tunalalamika kwa sababu ya vile tunavyopitia lakin tunasahau kuwa kuna Mungu(HATUMUONI MUNGU) huwa tunaona kuwa kulalmika na kulia au kuumia kwa ajili ya yale tunayopitia n suluhisho.Lakin neno linasema katika Wafilipi 4:6
USIJISUMBUE KWA NENO LOLOTE; BALI KATIKA KILA NENO KWA KUSALI NA KUOMBA,PAMAOJA NA KUSHUKURU HAJA ZENU NA ZIJULIKANE NA MUNGU.
Ebu ona ni jinsi gani Mungu an upendo kwa ajili yetu,tafuta kukaa magotini mwa MUNGU ili ajitukuze juu yako(HUMBLE YOURSELVES)
Basi jifunze kumwambia Mungu shida zako ili ujiweke huru.
Post Top Ad
LIVE LIFE IN JESUS
Friday, December 1, 2017
JIFUNZE KUMWAMBIA MUNGU MATATIZO YAKO ILI UWE HURU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
LIVE LIFE IN JESUS
Author Details
LIVE LIFE IN JESUS ni blog inayohusu mafundisho ya kiroho na mambo mengine karibun sana.
No comments:
Post a Comment